Nataka kununua vifaa vya mziki, mnisaidie

Nataka kununua vifaa vya mziki, mnisaidie

Ikimbu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
301
Reaction score
32
Nataka kununua, Spike kubwa, Buster moja Mixa moja Kinanda n.k vyote vya kanisani anaefahamu duka linalouza vyombo vya uhakika ani PM aweke namba ya simu ya Tigo.

Tuwasiliane mimi nipo Moro..
 
Tumechoka na Kelele za kwaya.
Hapa hupati kitu.

Andiko linakataza Kelele. Hii miradi mingine inaudhi sana.
 
Juzi nimetoka kununua vyombo vya Night Club, Kuna baadhi nakushauri ununue mtumba Na baadhi vipya, Maduka yapo Dar Ni mengi, sema inabidi uwe makini coz mchina yupo kila mahali.
 
Kama umechoka kakojoe ukalale?
Ntalala vipi wakati nyie mnatupigia kelele zisizo na maana?
Nyie endeleeni na Huu Utumbo wa kusumbua watu, mtakuja shangaa siku moja
 
Back
Top Bottom