Kodi yake haiwezi kuwa kubwa sanaHabarini Wakuu
Nataka kununua Toyota Crown Althele
ya 2005-6 nataka kujua fuel consumption na Services
Na Kusafiria Dar-Moshi inaweza kucost pesa ngapi kwa Fuel
achana na gari za 2006Habarini Wakuu
Nataka kununua Toyota Crown Althele
ya 2005-6 nataka kujua fuel consumption na Services
Na Kusafiria Dar-Moshi inaweza kucost pesa ngapi kwa Fuel
Aliagiza yeye kwama yeye (yeye mwenyewe) au alienda kwa zile kampuni za kuwaagizia watu magari?Mwaka 2019 jamaa yangu aliagiza kutoka japan , mpka inakamilika usajili kila kitu alitumia milion 12, akiwa hapa dar
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Swali zuri sanaAliagiza yeye kwama yeye (yeye mwenyewe) au alienda kwa zile kampuni za kuwaagizia watu magari?
gharama ya mafuta si fixed....inategemea bei ya eneo husika na uendeshaji wako. Kama ni mtu unapenda gari iende kwa kasi sana/engine rpm iwe juu utatumia mafuta mengi. Ukiwa unaendesha kiutu uzima ukizingatia mwendo wa kawaida na huwashi ac sana au huwashi kabisa, utatumia mafuta machaheHabarini Wakuu,
Nataka kununua Toyota Crown Althele ya 2005-6 nataka kujua fuel consumption na Services.
Na Kusafiria Dar-Moshi inaweza kucost pesa ngapi kwa Fuel
Kodi ya wapi wakati gari ikiwa nchini Ni milion 14-15Kodi yake haiwezi kuwa kubwa sana
Habarini Wakuu,
Nataka kununua Toyota Crown Althele ya 2005-6 nataka kujua fuel consumption na Services.
Na Kusafiria Dar-Moshi inaweza kucost pesa ngapi kwa Fuel
Mwaka 2019 jamaa yangu aliagiza kutoka japan , mpka inakamilika usajili kila kitu alitumia milion 12, akiwa hapa dar
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mwaka 2019 jamaa yangu aliagiza kutoka japan , mpka inakamilika usajili kila kitu alitumia milion 12, akiwa hapa dar
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Huu mkwaju uko vyedi haswaa, hizo moka za after market rims ni unyama mwengine!Kapitie uzi wa “crown the japannese benz”
Watu wameshare views kibao kuhusu crown
Ushauri:nunua hiyo gari lakini
Kulingana na ombi lako jitahidi
Tafuta either 4GR kuanzia 2006 au
3GR 2004-2008
Hizi zote zina 6speed auto gearbox
Zinachanganya faster with good fuel efficiency
Achana na 4GR za 2004-2005
Na kama unaagiza mwenyewe japan
Check japanesevehicle ipo black moja kali 4GR 2006
CIF ni kama 10ml
TRA andaa 7,6ml
View attachment 2571064
Yeye alichagua aina anayotaka, mpaka rangi na kila kitu, kwenye kampuni akaenda kupilia tu, gali ikaletwa ,ila kuagiza unatakiwa uwe mvumilivu maana gari inafika baada ya siku 60 na kuendeleaAliagiza yeye kwama yeye (yeye mwenyewe) au alienda kwa zile kampuni za kuwaagizia watu magari?
Aisee siku 60?Yeye alichagua aina anayotaka, mpaka rangi na kila kitu, kwenye kampuni akaenda kupilia tu, gali ikaletwa ,ila kuagiza unatakiwa uwe mvumilivu maana gari inafika baada ya siku 60 na kuendelea