mnyongeni
Senior Member
- Dec 6, 2011
- 141
- 24
Kuna simu mpya naziona madukani ni za tecno c 8. Vipi ubora wake? Nilichovutiwa zaidi ni uwezo wa camera 13 Mega pixel. Na bei nimezunguka naambiwa hata 280,000 napata. Naomba wanayoijua vizuri tuidiscus uzuri wake na madhaifu yake. Pia vipi kuhusu tecno c5 na boom 7?. Pia kuna simu nyingine bora zaidi naweza pata kwa bei ya 250000 - 300000?.