Nataka kununua simu aina ya apple

Nataka kununua simu aina ya apple

Haina lolote Samsung
Net chenga___,,, picha zingine chengaaa,,,,,,,,Hao wanajua gadgets tuuuu

Mkuu umeongea pumba za hali juu..
Kuna wakati muwe mnaona aibu hata kama hatuwaoni hapa..
 
Samsung hakuna lolote baba!! Yaan ni utumbo tuu kitu likubwaaaaa lakini network chengaaa, internet majangaaa,,,,,
Watu wengi wanalalama na lisamaung baba
 
Samsung hakuna lolote baba!! Yaan ni utumbo tuu kitu likubwaaaaa lakini network chengaaa, internet majangaaa,,,,,
Watu wengi wanalalama na lisamaung baba
internet ni wewe na mtandao wako na eneo ulipo ila usisingizie simu;: ushamba
 
yeye aliongelea tu samsung in general. lakini hata kwa flagship nadhani samsung wanauza zaidi...sina data zenye uhakika lakini. mimi nilishazowea iphone siwezi samsung au androd yoyote

Unapoongelea kuhusu flagship unaongelea brand moja kama galaxy S6 vs iphone 6. Ukisema hivyo samsung hajawahi hata kufikia nusu ya sales za apple.
 
Nimetumia sim zote iphone 6 plus and now am using samsung s6..... previous wewk nilikua natumia s5.... jaman samsung n amazing phone... kwanza quality ya pcha, network speed ipo poa sana.. pia hawana restriction katika application in playstore..... more over accesory zake unawezareplac kwa bei chip....
 
No change katika iphone ....no new i iphone 6plus compared na iphone 5 ..
 
Nimetumia sim zote iphone 6 plus and now am using samsung s6..... previous wewk nilikua natumia s5.... jaman samsung n amazing phone... kwanza quality ya pcha, network speed ipo poa sana.. pia hawana restriction katika application in playstore..... more over accesory zake unawezareplac kwa bei chip....

Uo ni uongoo ,100%
 
Habari?. Je, hii ni aina nzur ya smartphone? Je zipo apple za aina tofauti? Nishauri ni ipi nzuri,na bei nafuu.

Kama Fedha Ipo Nunua Tu iPhone 5 plus kwa bei ya laki nane Mimi Natumia iPhone 6c pia nina macbook,iPod,iPad wako vizuri sana sinaga cha kuongea..
 
nimetumia sim zote iphone 6 plus and now am using samsung s6..... Previous wewk nilikua natumia s5.... Jaman samsung n amazing phone... Kwanza quality ya pcha, network speed ipo poa sana.. Pia hawana restriction katika application in playstore..... More over accesory zake unawezareplac kwa bei chip....

hivi mkuu unajua uongo ni dhambi
 
Hivi kwanini si sikii blackberry kutajwa sim bora? Kwani hazina kiwango? Au tofauti zake ni nini hasa katika smart phone.
 
Ninazo IPhone phones mpya
4s gb16 Tsh 250,000
5c gb16 Tsh 300,000
5s gb 32 Tsh 500,000
6 Gb 16 Tsh 700,000
6+ gb 16 Tsh 900,000
 
Ninazo IPhone phones mpya
4s gb16 Tsh 250,000
5c gb16 Tsh 300,000
5s gb 32 Tsh 500,000
6 Gb 16 Tsh 700,000
6+ gb 16 Tsh 900,000

Hizo bei za wapi ? 6plus laki tisa wewe mwenzetu umepewa bure mahali au? 5c laki 3? Duh acha nifunge bakuli langu nipite
 
Nimetumia sim zote iphone 6 plus and now am using samsung s6..... previous wewk nilikua natumia s5.... jaman samsung n amazing phone... kwanza quality ya pcha, network speed ipo poa sana.. pia hawana restriction katika application in playstore..... more over accesory zake unawezareplac kwa bei chip....

Wewe jamaaa ni mpotoshaji nimekosa hata jina sahihi la kukuita
 
Back
Top Bottom