Nataka kununua simu aina ya apple

Nataka kununua simu aina ya apple

Umesema kweli kuna watu humu jf hufikiri eti kutumia kitu cha bei juu ndy sifa. iphone inafaa lkn haiwezi kushindanishwa na samsung katika matumizi ya kawaida kama simu. Angalia uwezo na jinsi ya matumizi ktk mitandao sifa ni baba wa ujinga

Samsung ni user friend n uzuri wake u can download any program kwenye play store yake na ikakubali tofauti na Iphone kuna programme zake inabidi ununue
 
Habari?. Je, hii ni aina nzur ya smartphone? Je zipo apple za aina tofauti? Nishauri ni ipi nzuri,na bei nafuu.

Nunua simu mpya ya Toyota nayo ni nzuri tu kama hiyo ya apple inaitwa Toyota IST ni bei nafuu sana
 
Back
Top Bottom