Mbagala Tz
Member
- Mar 16, 2017
- 57
- 42
Wakuu salaam
Naombeni ushauri nataka nikanunue laptop mpya na nzuri kwa bei 500,000 nipo Dar es salaam
Hebu nipeni ushauri ni wapi naweza pata Laptop original na nzuri na durable kwa bei hyo au ni laptop gan nzuri za kununua kwa bei hyo mimi napenda sana HP au DELL
Mimi nipo dar mbagala
Naombeni ushauri nataka nikanunue laptop mpya na nzuri kwa bei 500,000 nipo Dar es salaam
Hebu nipeni ushauri ni wapi naweza pata Laptop original na nzuri na durable kwa bei hyo au ni laptop gan nzuri za kununua kwa bei hyo mimi napenda sana HP au DELL
Mimi nipo dar mbagala