Nataka kununua gari

Kwa million kumi kaka?
Jaribu kuzunguka wawezankupata lkn imeshaumia!
 
Hapa Jirani kwangu ipo Audi A4 8Million nzuri kweli kweli ni hal tu ndio imebana ndio maana bei zinakuwa ndogo ukilinganisha na bizaa yenyewe.....usishangae boss......
 
Back
Top Bottom