KISHINDO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 2,112
- 1,798
Ana ngazisasa ndefu utapandaje wakati mwenyewe mfupi
Ana ngazisasa ndefu utapandaje wakati mwenyewe mfupi
ipo mkuu millage 57,000kmIST mwenye nayo anicheki
YES UTOFAUTI UPO KABISAHivi kuna tofauti gani kubwa ya kuagiza gari nje na kununua kwenye Yard.(Ubora na Gharama)
Mkuu naomba ufafanue, usiishie hapo.YES UTOFAUTI UPO KABISA
Hahah,Asubuhi hapa kulikuwa na prado milion 8, au hupendi magari ya nayokunywa mafuta sana?
naomba picha mkuuHapa Jirani kwangu ipo Audi A4 8Million nzuri kweli kweli ni hal tu ndio imebana ndio maana bei zinakuwa ndogo ukilinganisha na bizaa yenyewe.....usishangae boss......