Nataka kununu gari hapa bongo tz - suzuki grant vitara

Raiamwematz

Senior Member
May 9, 2012
104
28
Habari, natafuta gari aina ya SUZUKI GRAND VITARA kwenye yard za hapa bongo, je ni wapi nitapata? naomba pia nijue faida na hasara za kununulia gari hapa bongo.
 
Ipi exactly?,kuna za 1998-2004 na
2005-2012,model mbili tofauti,
na ukisema grand vitara unaingia moja kwa moja kwenye V6
Search google upate uelewa wa unachomanisha then you choose from the VIM here under,

TL52W(SUZUKI ESCUDO) Price 20-24M
TD64W(GRAND VITARA 2,700CC V6) price 14-17M
TX94W(GRAND VITARA 7 SEATER,2,700CC) price 15-20M
TD54W(SUZUKI ESCUDO 1998CC) price 43-50M
TD94W(GRAND VITARA 2,700CC V6) 35M

Faida na madhara ya ku import mwenyewe ama kununua hapa inategemea na uelewa wako juu ya magari,coz what you will save ni hiyo faida ambayo muuzaji wa hapa ameweka,na hustles za kusuburi na clearance ni kero pia kwa baadhi ya watu
 
Mkuu nimependa your response. I was once told hawa wanaouza humu nchini wanaiba sana vipuri and you're not allowed to taste it out of the show room gate. Is this true?
 
Back
Top Bottom