Fedora
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 238
- 173
Wanajamvi, ni kama wiki tatu hivi tumebahatika kupata mtoto wa kwanza lkn kabla wife hajajifungua nilimpeleka kwa mama yangu kwaajili ya huduma baada ya kujifungua, ndo ilikua mara yake ya kwanza kwenda kuishi na mama mkwe, cha ajabu kwa kipindi chote alichokaa nae ameonesha utovu wa nidhamu mkubwa (japo mama haja lalamika wala kusema chochote mengi nimejionea mwenyewe maana nilikuwepo). Nikisema kuandika kila kitu naweza jaza zaidi ya page 2 maana show imeanza kitambo kidogo.
Hivyo nimedhamilia kuachananae muda tu atakapo pata nguvu. Hivyo wanaojua sheria za ndoa na jamii naomba mnijuze ni sheria gani inaweza kunibana ktk hayo maamuzi yangu.
Naomba kurudia tena NIMESHAFANYA MAAMUZI MWENYEWE sihitaji ushauri kwa hilo isipokua utaratibu wa kisheria tu
Asante nawasilisha tafadhali.
Hivyo nimedhamilia kuachananae muda tu atakapo pata nguvu. Hivyo wanaojua sheria za ndoa na jamii naomba mnijuze ni sheria gani inaweza kunibana ktk hayo maamuzi yangu.
Naomba kurudia tena NIMESHAFANYA MAAMUZI MWENYEWE sihitaji ushauri kwa hilo isipokua utaratibu wa kisheria tu
Asante nawasilisha tafadhali.