Nataka kumuacha mke wangu

Nataka kumuacha mke wangu

Fedora

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2013
Posts
238
Reaction score
173
Wanajamvi, ni kama wiki tatu hivi tumebahatika kupata mtoto wa kwanza lkn kabla wife hajajifungua nilimpeleka kwa mama yangu kwaajili ya huduma baada ya kujifungua, ndo ilikua mara yake ya kwanza kwenda kuishi na mama mkwe, cha ajabu kwa kipindi chote alichokaa nae ameonesha utovu wa nidhamu mkubwa (japo mama haja lalamika wala kusema chochote mengi nimejionea mwenyewe maana nilikuwepo). Nikisema kuandika kila kitu naweza jaza zaidi ya page 2 maana show imeanza kitambo kidogo.

Hivyo nimedhamilia kuachananae muda tu atakapo pata nguvu. Hivyo wanaojua sheria za ndoa na jamii naomba mnijuze ni sheria gani inaweza kunibana ktk hayo maamuzi yangu.
Naomba kurudia tena NIMESHAFANYA MAAMUZI MWENYEWE sihitaji ushauri kwa hilo isipokua utaratibu wa kisheria tu

Asante nawasilisha tafadhali.
 
Mkuu STOP !! Niwieradhi kakangu... Kimantiki wewe ndo umekosea !!! Hebu jirudi utafakari vipi umpeleke kwenu ktk uzazi?
alafu Mama ni mtu mzima huwa ana misongo yake binafsi! Obviosly picha haztoenda vizuri hapo!! Na wakati huohuo Mke yupo mwezi wake wa mwisho...So lazima patakuwepo taharuki za kike!! Think wise,twice!!
 
Jamani eeh...
Mnapowaza mlango wa kuingia muulize na njia ya kutokea.
Hakuna wanaooana ili waachane ila kuna ndoa nyingi tu zinavunjika wanapata utata jinsi ya kutoka.
 
Jamani eeh...
Mnapowaza mlango wa kuingia muulize na njia ya kutokea.
Hakuna wanaooana ili waachane ndoa nyingi tu zinavunjika wanapata utata jinsi ya kutoka.

Wataulizaje mlango wa kutoka wakati wanadhani ndoa ni paradise?
 
KJV Malachi 2:14 - 16
14 Yet ye say, Wherefore? Because the LORD hath been witness between thee and the wife of thy youth, against whom thou hast dealt treacherously: yet is she thy companion, and the wife of thy covenant.
15 And did not he make one? Yet had he the residue of the spirit. And wherefore one? That he might seek a godly seed. Therefore take heed to your spirit, and let none deal treacherously against the wife of his youth.
16 For the LORD, the God of Israel, saith that he hateth putting away: for one covereth violence with his garment, saith the LORD of hosts: therefore take heed to your spirit, that ye deal not treacherously.
 
Mkuu STOP !! Niwieradhi kakangu... Kimantiki wewe ndo umekosea !!! Hebu jirudi utafakari vipi umpeleke kwenu ktk uzazi?
alafu Mama ni mtu mzima huwa ana misongo yake binafsi! Obviosly picha haztoenda vizuri hapo!! Na wakati huohuo Mke yupo mwezi wake wa mwisho...So lazima patakuwepo taharuki za kike!! Think wise,twice!!

Asante kwa ushauri wako lakini nilimpeleka kwetu baada ya wazazi wake kunikatalia kwa kusema mila haziruhusu. Pia ujinga alioufanya huko hata kwangu alishafanya na nikamkataza lkn hakusikia
 
Huo utovu wa nidhamu ni upi?
uliouna wewe mwenyewe au umesimuliwa?
waliokusimulia wanaaminika vipi?
umemuuliza mhusika?
nani alie shauri talaka?

why aende kwenu kujifungua?
alikubali au ulimlazimisha?

Huo utovu wa nidhamu baadhi (mwingi ) nimeuona mwenyewe
Mhusika nimemuuliza na kujibu kwa jeuri
Alienda kwetu kwasababu wazazi wake walikataa asiende kwao
Yeye mwenyewe hakupenda kwenda ukweni na hakukua na option nyingine.
Hakuna alishauri talaka isipokua ni maamuzi ninayotaka kuyafanya mwenyewe
 
Huo utovu wa nidhamu baadhi (mwingi ) nimeuona mwenyewe
Mhusika nimemuuliza na kujibu kwa jeuri
Alienda kwetu kwasababu wazazi wake walikataa asiende kwao
Yeye mwenyewe hakupenda kwenda ukweni na hakukua na option nyingine.
Hakuna alishauri talaka isipokua ni maamuzi ninayotaka kuyafanya mwenyewe


Utovu wa nidhamu ni kama upi ulio uona wewe mwenyewe?
why kwao walimkataa?
 
Back
Top Bottom