Sasa unalikomboa kutoka wapi?maendeleo huletwa na serikali. Hakuna mbunge mwenye fedha za kujenga barabara, hakuna mbunge mwenye fedha za kusambaza umeme, hakuna mbunge mwenye fedha za kuleta chochote bungeni.
Hivyo mnaposifia maendeleobya moshi mkumbuke kusifia serikali.