Nilifikir utasema ni mbeya mjini kumbe ni Kilimanjaro hiyo hiyo...siasa za kaskazini yooote zinafanana si moshi Mjini wala vijijini si arusha mjni wala vijijini ccm walishaikataaa...Davis mosha alikuwa anagombea moshi mjini
Kama maendeleo yanaletwa na serikali jimboni, sasa unailaumu nini Chadema?maendeleo huletwa na serikali. Hakuna mbunge mwenye fedha za kujenga barabara, hakuna mbunge mwenye fedha za kusambaza umeme, hakuna mbunge mwenye fedha za kuleta chochote bungeni.
Hivyo mnaposifia maendeleobya moshi mkumbuke kusifia serikali.
..Kimewashinda waasisi utaweza wewe?Mkuu nipo kwenye harakati za kukijenga chama, kwasasa nipo kirima.
Karibu
Safi, je maendeleo yasipokuwepo Nani alaumiwe? Serikali au mbunge?maendeleo huletwa na serikali. Hakuna mbunge mwenye fedha za kujenga barabara, hakuna mbunge mwenye fedha za kusambaza umeme, hakuna mbunge mwenye fedha za kuleta chochote bungeni.
Hivyo mnaposifia maendeleobya moshi mkumbuke kusifia serikali.
Walimshughulikia David mosha 2015 vzr sana mkuu[emoji23] [emoji23] kajiuzulu na siasa mchana ccm usiku wanahudhuria vikao vya ukawa....Mara paaaaap kaambulia kura yake naya mkewe[emoji2] [emoji2]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ndo anakotokea Nkamia wanatia huruma kweli Dodoma mbunge wao anawaza tumbo lake tu...kakazania kubadili katiba wakae miaka 7 wananchi wake wanashindia mabuyu halafu 2022 watamchagua tena[emoji23] [emoji23] [emoji23] halooo raha sanaKama kuna mtu ana huruma ya kuwakomboa watanzania basi aende majimbo ya Dodoma. Choka mbaya. Kwa kweli hao ndio wako utumwani kabisa chini ya mkoloni mweusi. Elimu duni, kipato hafifu, huduma za jamii ziko ICU.
Ingekuwa ccm wanaleta maendeleo watu wa dodoma wasingeishi wa kula maembe na mpala leo ukienda kongwa kwa JOB NDUGAI kuna nyumba za tembe. Majimbo yanayoongozwa na ccm watu wake hata mlo wa siku ni shidaaaNi dhahiri kuwa tangu jimbo hili kutwaliwa na chadema na Anthon Komu, jimbo hili la Moshi vijijini ni kama limekufa.
Hatuoni chochote kinachoendelea, mbunge haonekani tangu uchaguzi 2015.
Kwasasa ni wazi kwamba hata watu wa kaskazini tushaona Chadema inatupotezea muda, na imetugharimu sana kimaendeleo.
Nikiwa kijana mtiifu wa sera za chama changu CCM chini ya mwenyekiti Wetu Mpambanaji Dk Magufuli, natangaza vita na Chadema kwamba wajiandae kufutika kilimanjaro.
Mangi2020-moshi vijijini.
Nenda polisi karipoti boya weweLimetekwa na chadema, halipo sehemu salama
Sasa mbona unamlaumu komu na chadema ilhali sio wao waleta maendeleo?maendeleo huletwa na serikali. Hakuna mbunge mwenye fedha za kujenga barabara, hakuna mbunge mwenye fedha za kusambaza umeme, hakuna mbunge mwenye fedha za kuleta chochote bungeni.
Hivyo mnaposifia maendeleobya moshi mkumbuke kusifia serikali.
Komu alishapambana sana kwenye siasa tangu akiwa Chuo Kikuu mika ya mwazoni mwa 90 bila mafanikio yoyote. Kwa sasa amepata sabbatical leave ajipongeze na kujirundikia mali. Lilikuwa ni kosa kubwa sana kumtosa Cyril Chami!!
Kabla Komu ni nani alikuwa mbunge wa hilo Jimbo. Mimi jirani yake na Magdalena Sakaya hapo kijiji cha Kombo kwa hiyo sio Jipya kwa mtawala wa mwanzo. Fuatilia historia ya kahawa aliiua nani ndo utajua nini yafanyeNi dhahiri kuwa tangu jimbo hili kutwaliwa na chadema na Anthon Komu, jimbo hili la Moshi vijijini ni kama limekufa.
Hatuoni chochote kinachoendelea, mbunge haonekani tangu uchaguzi 2015.
Kwasasa ni wazi kwamba hata watu wa kaskazini tushaona Chadema inatupotezea muda, na imetugharimu sana kimaendeleo.
Nikiwa kijana mtiifu wa sera za chama changu CCM chini ya mwenyekiti Wetu Mpambanaji Dk Magufuli, natangaza vita na Chadema kwamba wajiandae kufutika kilimanjaro.
Mangi2020-moshi vijijini.
Huyo binafsi lami ilishia kwaoBora arudi doctor Chami maana ndiye angalau alijitahidi kupeleka lami hadi milimani alipoishia ndio pale pale