Kulamba kitu kitamu itakuchukua muda na itakulazima kufanya kazi ya ziada na jasho likutoke
..sukari ilivyokuwa adimu hata ya kulamba mkuu.....
asali kuipata ni shughuli nyuki wamekuwa wajanja sana siku hizi....
tafuta njia mbadala..
vitu vichungu kama sifongo ndio vinapatikana kwa urahisi zaidi