chumvichumvi
JF-Expert Member
- May 6, 2010
- 1,205
- 304
Wajamvini mimi nataka kujua kwanini siku hizi swala la sex limekuwa kama ni sehemu ya awali au tendo tangulizi kabla ya ndoa sababu kubwa inaweza ikawa nini?
Naombeni michango yenu.
Naombeni michango yenu.