Nataka kujua ushuru wa nondo

Nataka kujua ushuru wa nondo

Movado

Senior Member
Joined
Feb 20, 2013
Posts
105
Reaction score
28
Habari wadau, nataka ku import nondo, ila nataka kujua duty before processing! But mtu yoyote mwenye idea anisaidie!

Cheers
 
Ushuru wa vifaa vya ujenzi ukiondoa cement havina tatizo kabisa kuviingiza Tz...mimi pia nimenunua nondo na vifaa vingine vya ujenzi hapa dubai ni cheap sana natazamia kuvituma hivi karibuni..tani moja ya nondo za 16 ni kama shilingi laki 7.5..ni kupata risit na chaji za bandari ni almost laki 3.4 ..kama unataka kununulia hapa dubai wawezawasiliana nami nikakupeleka sehemu ambapo ni cheap pamoja na tiles grade A box lenye tiles 13 ni tsh 9500 na grade B ni tsh 7400 kwa box lenye tiles 13..mimi nishanunua nasubiri mwezi ujao nizitume..ukiwa interested njoo ntakupokea tukituma pamoja cost itakuwa ndogo..+971504374387
 
Back
Top Bottom