Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 13,346
- 21,244
Sasa una tofauti Gani Na Deci?Ipo hivi.. huu ni mchezo wa pesa.. hakuna biashara pesa yako inaenda kufanya.. isipo kuwa ukiweka 20K inaenda kumlipa mtu aliye kutangulia ili awahakikishie wengine kuwa inalipa.. pyramid scheme huwa zina mwisho hasa pale ambapo pesa inayo ingia kutokana na watu wapya inakuwa ndogo kuliko pesa inayotakiwa kuwalipa wale walio tangulia..
Hayupo wa kukupatia sasaMimi hizi issue za mitandao siweki hela yangu anaekuja kuja kunishawishi namwambia yeye ndo anipe pesa nikipata faida kama asemavyo nitamlipa
Sisi wenyewe pia tulishawishiwa ila all in all mimi sijapigwa maana nilishatoa zamani nikasepa zanguWabongo kwa kuuzana ndio maana tuliuzana Utumwa huna huruma kabisa na Ndugu zako.😣
VyoteTUNAZIKA AU TUNASAFIRISHA
Wote wanasema hivyo ila humu ulikua unashawishi watu matapeli wamekimbia mnakuja na mguu mmoja nikatoa nikasepa zangu mara hata hivyo nimekula nyingi...Sisi wenyewe pia tulishawishiwa ila all in all mimi sijapigwa maana nilishatoa zamani nikasepa zangu
HahahaWote wanasema hivyo ila humu ulikua unashawishi watu matapeli wamekimbia mnakuja na mguu mmoja nikatoa nikasepa zangu mara hata hivyo nimekula nyingi...
Ponzi schemeAcha maswali mengi sisi huku tumejiunga longtime kwa sh 20,000 na kila siku unapiga kamisheni ya sh 800 siku zinavyoenda mbele kamisheni inaongezeka kwa sasa napiga 6000 kwa siku.. jiunge hapa kwa link hii maisha magumu!! Kalynda
Deci,Qnet, Jatu Plc etc,etc.Guys kuna hiii kampuni ya e commerce inaitwa kalynda E-commerce hivi hiii kampuni ni halali au ndio kama wale wazee wa Good morning
Maana naona ITV na redio nyingi tu wanaipa airtime sana hua siziamin sana hizi online issues lakin
Piaaa naomba mmoja anisaidie kuangalia huko Brela kama imesajiliwa kweli
View attachment 2353523View attachment 2353524
Watu watatoka machozi soon😁😁Guys kuna hiii kampuni ya e commerce inaitwa kalynda E-commerce hivi hiii kampuni ni halali au ndio kama wale wazee wa Good morning
Maana naona ITV na redio nyingi tu wanaipa airtime sana hua siziamin sana hizi online issues lakin
Piaaa naomba mmoja anisaidie kuangalia huko Brela kama imesajiliwa kweli
View attachment 2353523View attachment 2353524
Mbona tayari washaliaWatu watatoka machozi soon[emoji16][emoji16]
Watu wataka hela nyepesi nyepesi
Ukialika mtu kulikuwa na gawio fulani unapata kwa hiyo inabidi uconvice watu wajiunge kupitia link yako ili upate gawio lako ila uvumi ulikuwepo kuanzia katikati ya mwezi wa 9 kuwa jamaa wanataka kukimbia walijaribu kutupoza na kudai huo ni uongo, lakini sisi wengine tuliamua kutoa hela na kuachana nao ila wengine waliamua kukomaa ndio hao wanaoliaWote wanasema hivyo ila humu ulikua unashawishi watu matapeli wamekimbia mnakuja na mguu mmoja nikatoa nikasepa zangu mara hata hivyo nimekula nyingi...
Wakenya na Wanigeria watawapiga sana hao Watanzania ni chambo tu hizo tunaita washa washa na zipo nyingi mno hiyo ni moja ya sindano zake watakuja na dozi zingine tena wanaenda kwenye Nchi wanayolalamika sana kuhusu maisha magumu..Ukialika mtu kulikuwa na gawio fulani unapata kwa hiyo inabidi uconvice watu wajiunge kupitia link yako ili upate gawio lako ila uvumi ulikuwepo kuanzia katikati ya mwezi wa 9 kuwa jamaa wanataka kukimbia walijaribu kutupoza na kudai huo ni uongo, lakini sisi wengine tuliamua kutoa hela na kuachana nao ila wengine waliamua kukomaa ndio hao wanaolia