Nataka kuhamia continental decoder, watumiaji wake niambieni ubora

Nataka kuhamia continental decoder, watumiaji wake niambieni ubora

duuuuuh kumbe hawa jamaa ni mashetan duuuh wakat startime dish wanaacha dish channel 8 bure
Mkuu, Star times king'amuzi kikiisha zinabaki ch idadi 8! Wameanza lini?
Maana nijuavyo, huwa wanabakisha ch idadi2, ie: Tbc na Tv1 basi.
 
Mkuu, Star times king'amuzi kikiisha zinabaki ch idadi 8! Wameanza lini?
Maana nijuavyo, huwa wanabakisha ch idadi2, ie: Tbc na Tv1 basi.
kuna madish ya aina 3 kuna la laki na kumi kuna la elfu 80000 na kuna la starsat
Hayo ya laki moja wanaacha channel za kutosha nikisearch huwa napata 30
 
Unahamia kwenye kero mkuu no signal za kutosha na sav ikitokea wingu ni shida kifupi bado hawako vzr mm mwenyewe nataka nihamie azam.yaan hawako vzr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
continental wapo vzur kweny dish ila ukilifunga vzury signal quality ikiwa 60 na ina channels 48 ila channels za kitaifa ukilipia 24000 utapat bure bila kikomo
 
Ving'amuzi ni majanga kwa sasa na wahusika wapo kimya tu
Wakuu wao wakimaliza kupima UTI labda ndipo wataangalia WALAJI wanateseka kiasi gani! Labda vingekuwa vya kina Manji wangevishughulikia lakini kwa sababu vinamilikiwa na wana wapendwa acha Watanzania tulipie gharama za CCM
 
continental wapo vzur kweny dish ila ukilifunga vzury signal quality ikiwa 60 na ina channels 48 ila channels za kitaifa ukilipia 24000 utapat bure bila kikomo
vp antenna? wana vifurushi tofauti???
 
Wakuu wao wakimaliza kupima UTI labda ndipo wataangalia WALAJI wanateseka kiasi gani! Labda vingekuwa vya kina Manji wangevishughulikia lakini kwa sababu vinamilikiwa na wana wapendwa acha Watanzania tulipie gharama za CCM
well said
 
Startimes sasa hivi wamejirekebisha mno sasa mambo ni safi ispokua lazima ulipie ndo uone channels ila wamebadilika sana kiukweli wapo vizuri ila kwa sasa nataka continental
Vipi kwa watumiaji wa continental decoder?Kisimbusi chao kwa sasa kina ubora? Nataka nikanunue cha continental
Vipi wana local channels
Vipi ubora wa picha ukilinganisha na ving'amuzi vingine
Vipi ubora wa picha za channel zao hususani zile za star bunge, star drama, star e, star tollywood, nk?Zina ubora wa hd?
Vipi vifurushi?
 
Back
Top Bottom