Ipo elf hamsin,shilingi ya tanzania.una sh ngp????
hao Jamaa ni shida sana, tofauti kama zamani siku hizi kila wakati unalazimika uapladate. chukua Dstv ule maisha mzee...UNA CHA DISH AU ANTENNA?
Startimes sasa hivi wamejirekebisha mno sasa mambo ni safi ispokua lazima ulipie ndo uone channels ila wamebadilika sana kiukweli wapo vizuri ila kwa sasa nataka continental
Vipi kwa watumiaji wa continental decoder?Kisimbusi chao kwa sasa kina ubora? Nataka nikanunue cha continental
Vipi wana local channels
Vipi ubora wa picha ukilinganisha na ving'amuzi vingine
Vipi ubora wa picha za channel zao hususani zile za star bunge, star drama, star e, star tollywood, nk?Zina ubora wa hd?
Vipi vifurushi?
Continental bado sana kuna wakati mziki ukichezwa unazizima kama redio iliyoishiwa betri!! Wanakera sana .
Sent using Jamii Forums mobile app
Startimes sasa hivi wamejirekebisha mno sasa mambo ni safi ispokua lazima ulipie ndo uone channels ila wamebadilika sana kiukweli wapo vizuri ila kwa sasa nataka continental
Vipi kwa watumiaji wa continental decoder?Kisimbusi chao kwa sasa kina ubora? Nataka nikanunue cha continental
Vipi wana local channels
Vipi ubora wa picha ukilinganisha na ving'amuzi vingine
Vipi ubora wa picha za channel zao hususani zile za star bunge, star drama, star e, star tollywood, nk?Zina ubora wa hd?
Vipi vifurushi?
Startimes sasa hivi wamejirekebisha mno sasa mambo ni safi ispokua lazima ulipie ndo uone channels ila wamebadilika sana kiukweli wapo vizuri ila kwa sasa nataka continental
Vipi kwa watumiaji wa continental decoder?Kisimbusi chao kwa sasa kina ubora? Nataka nikanunue cha continental
Vipi wana local channels
Vipi ubora wa picha ukilinganisha na ving'amuzi vingine
Vipi ubora wa picha za channel zao hususani zile za star bunge, star drama, star e, star tollywood, nk?Zina ubora wa hd?
Vipi vifurushi?