Sabry001
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,064
- 353
Kwenu wana JF nimekutana na huyu m2 ktk huduma yangu. Anasema:- Mie ni kijana wa miaka 30, niko na akili timamu, na nimechoka kuwa mtanzania. Ninataka kuhama hii nchi niende hata somalia ila procedure sizijui. Nimechoka kila ki2 kinachoendelea ktk nchi hii, haki sio haki tena. Maisha yamekuwa magumu, nyumba ye2 gongo la mboto imebomolewa kwa mabomu, fidia ilikuwa buku jero, ile ya kule kijijini imepigwa ex eti bomoa, barabara inapanuliwa na hakuna fidia! Tukaishi wapi sasa? Mama na baba ni jobles, biashara ya mamalishe mtaji city wameufilisi,tutakwenda wapi? Nimeambiwa nikalime, nikalime wapi na nini? Nimemaliza chuo miaka 4 cjaajiriwa niende wapi wakati kuna ndugu 5 na wazazi wananiangalia mie, first born na msomi wa family? NISAIDIENI MAWAZO JAMANI!