Atakuwa bidada huyoo...mwanamke ndoa bila harusi anaona ni matusi makubwa kwake!
Watu tumetofautiana asee....nilivyo na uchungu na hela, halafu kirahisi rahisi ikalipiwe ukumbi, sijui Gari la kutubeba, kunywesha watu bia! Mume wangu hajafanya huo upuuzi nikamvumilia!