Ndg wana jamvi habari zenu,
Natamani sana kufanya hii biashara ya Uwakala (agent) wa M-pesa, tigo pesa, Airtel money, ikibidi nianze any time sema sina uhakika ufuatao hapo chini, NAOMBA MWENYE UFAHAMU ANIJUZE KWA UFASAHA.
1. Je INALIPA?
2. Je nitajuaje napata faida nayo
3. Nitapataje TIN no na LESENI ya Biashara?
4. Je Uajenti wa LUKU, Dstv, Maji, etc nitapataje?
Please ndg zangu mwenye uelewa anisaidie jamani, thanks
Natamani sana kufanya hii biashara ya Uwakala (agent) wa M-pesa, tigo pesa, Airtel money, ikibidi nianze any time sema sina uhakika ufuatao hapo chini, NAOMBA MWENYE UFAHAMU ANIJUZE KWA UFASAHA.
1. Je INALIPA?
2. Je nitajuaje napata faida nayo
3. Nitapataje TIN no na LESENI ya Biashara?
4. Je Uajenti wa LUKU, Dstv, Maji, etc nitapataje?
Please ndg zangu mwenye uelewa anisaidie jamani, thanks