Sasa mkuu hiyo biashara utaiweza kweli?, kwani creti moja ya soda faida yake ni kama tsh.500, nadhani kwenye gari unauziwa 9500, na wewe unatakiwa kuiuza 10, 000!!kuifanya biashara hii ni rahisi sana hasa ukiwa Dar, wewe watafute wale wenye magari ya pepsi/coca watakupa utaratibu wa kuwa wana kushushia kwani huwa wanasambaza mitaani.yaani carton moja ya maji faida ni kati ya 300-400!!Wakuu nataka kufanya biashara ya vinywaji na kuuza jumla nina mtaji mdogo siwezi kuwa distributor kwa kufuata bidhaa kiwandani hivyo natafuta muuzaji wa kuniuzia jumla na mimi niweze kuuza jumla kwa mkoa wa Dar es salaam
Au kama kuna mtu anafahamu sehemu au namna ya kununua kwa jumla kreti ishirini za vinywaji vya Cocacola na ishirini za vinywaji vya Pepsi.
Duka litakua na vinywaji vingine kama maji na nk
1000 bossNaomba tushauri hapa, kuwa agent inatakiwa kununua crate kuanzia ngapi?
Mkuuuone shot for my pain
one shot for my sorrow
FOLLOW THE LEADERKatika mihangaiko nimeamua kufanya biashara ya vinywaji yaani Wines na ndugu zake ila chagamoto yangu ni sijui wapi nitapata mzigo kwa bei ya chini yaani chimbo zuri kwa biashara hii.
Msaada kwa anaejua machimbo kwa DSM.
Kimtaani jamaa wamekuwa si wakweli kila ukitaka kujua zaidi, Majibu si mazuri sana hasa mahali wanapo pata mzigo zaidi zaidi wanataka nichukue kwaoFOLLOW THE LEADER
Anza kufanya survey kwa waliofanikiwa hii biashara utapata a b c...
kaulizie sehemu ingine piaKimtaani jamaa wamekuwa si wakweli kila ukitaka kujua zaidi, Majibu si mazuri sana hasa mahali wanapo pata mzigo zaidi zaidi wanataka nichukue kwao
Wazoefu karbun.....Katika mihangaiko nimeamua kufanya biashara ya vinywaji yaani Wines na ndugu zake ila chagamoto yangu ni sijui wapi nitapata mzigo kwa bei ya chini yaani chimbo zuri kwa biashara hii.
Msaada kwa anaejua machimbo kwa DSM.
Kuna sehem moja Mbili tatu zitakusaidia.Katika mihangaiko nimeamua kufanya biashara ya vinywaji yaani Wines na ndugu zake ila chagamoto yangu ni sijui wapi nitapata mzigo kwa bei ya chini yaani chimbo zuri kwa biashara hii.
Msaada kwa anaejua machimbo kwa DSM.