Tozo zimeua biashara usijisumbue labda upate eneo lenye mzunguruko mkubwa wa watu kupeana pesaWakuu nataka kufanya hii biashara naombeni mwongozo vitu vya umuhimu vya kuangalia kabla ya kuanza hii biashara
Na vipi kuhusu malipo yake upande wa commission kila mweziii huwa wanalipajeee
Na maeneo gani mazuli ya kufungua hii biashara