Nataka kuchakachua moderm mazeee

Nataka kuchakachua moderm mazeee

Original Pastor

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2007
Posts
1,274
Reaction score
52
Heshima mbele

Nataka kuchakachua MODERM mbili moja ya ZAIN na ingine ya ZANTEL ILE ambayo haina line je mwenye software anidondoshee fasta.

asanteni
 
NAMBA AKE UNLOCK for ZAIN modem. model E169 & IMEI no. 352835036952824. ZILE ZA ZAMANI
 
MOJA NI ZAIN CONNECTION IMEndikwa ile ya zamani na ingine ni Zantel zile ambazo hazina line huwawei
 
Kama ni pesa nitatoa bora tu nifanikiwe

Mkuu mm sihitaj pesa yako, Download hyo program, weka line ambayo haikubali kwenye hyo modem yako, mfano tigo,voda n.k

Make sure kwenye dashboard ilitoa message kwamba line iliyowekwa kwenye modem sio inayotakiwa...

then fungua program, nenda kwenye model na uchague Model yako: Huawei E169/E169G
9z6i.png


Ukishachagua hyo model, click Hyo search button (yenye lens), it should detect your modem!
ikishadetect hyo model, Button ya Do job! itakua active, click it... subiria mpaka imalize and that would be Done!

Mkuu, i dont gurantee kwamba nimecover kila kitu kwasababu sina hyo modem, hapa naelekeza from experience long time ago... ila i think it should do it..
 

Attachments

Mkuu mm sihitaj pesa yako, Download hyo program, weka line ambayo haikubali kwenye hyo modem yako, mfano tigo,voda n.k

Make sure kwenye dashboard ilitoa message kwamba line iliyowekwa kwenye modem sio inayotakiwa...

then fungua program, nenda kwenye model na uchague Model yako: Huawei E169/E169G
9z6i.png


Ukishachagua hyo model, click Hyo search button (yenye lens), it should detect your modem!
ikishadetect hyo model, Button ya Do job! itakua active, click it... subiria mpaka imalize and that would be Done!

Mkuu, i dont gurantee kwamba nimecover kila kitu kwasababu sina hyo modem, hapa naelekeza from experience long time ago... ila i think it should do it..
Hii
 
Mkuu mm sihitaj pesa yako, Download hyo program, weka line ambayo haikubali kwenye hyo modem yako, mfano tigo,voda n.k

Make sure kwenye dashboard ilitoa message kwamba line iliyowekwa kwenye modem sio inayotakiwa...

then fungua program, nenda kwenye model na uchague Model yako: Huawei E169/E169G
9z6i.png


Ukishachagua hyo model, click Hyo search button (yenye lens), it should detect your modem!
ikishadetect hyo model, Button ya Do job! itakua active, click it... subiria mpaka imalize and that would be Done!

Mkuu, i dont gurantee kwamba nimecover kila kitu kwasababu sina hyo modem, hapa naelekeza from experience long time ago... ila i think it should do it..
Mkuu na router vipi unaweza kuiunlock?
 
Back
Top Bottom