Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,163
- 17,067
Kama ilivyo kwa makanisa binafsi. Kina kakobe, Mwingira, Gwajima na Lusekelo. Haya makanisa ni Mali yao binafsi.
Ni utaratibu gani naweza kufuata nikaanzisha Msikiti binafsi?
Ni utaratibu gani naweza kufuata nikaanzisha Msikiti binafsi?