Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
Habari zenu jamani..... Nina idea ya kuanzisha magazine ambayo itakuwa ikigawiwa bure kwa watu (free copy) hivyo nategemea kuingiza fedha kupitia matangazo yatakayo kuwa yanawekwa kwenye gazeti na pia natafuta mdhamini. Ninachotaka kufahamu ni kwamba gharama za kusajili magazine ni kiasi gani na utaratibu upoje? Pia ku-design magazine mpaka printing ni gharama kiasi gani?
Naheshimu sana mawazo yenu jamani.....
Naheshimu sana mawazo yenu jamani.....