Qurie
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 3,638
- 3,850
Waungwana habari zenuu..... Najua jambo likiletwa huku hakiharibiki kitu maana huku wapo watu wakila namna....
Niende moja kwa moja kwenye key point...
Nataka kuanza kuafanya biashara ya dagaa nyama sasa kama kuna wajuzi naomba waje wanipe changamaoto za hii biashara napenda kujua changamoto ili nijipange kisawasawa kuliko kujua faida zake tuu pekee.... Mahali wanapopatikana nshapajua ingawa sio sanaa nlikua nawaza na masoko yake nna tanguliza shukrani zangu za dhati
Niende moja kwa moja kwenye key point...
Nataka kuanza kuafanya biashara ya dagaa nyama sasa kama kuna wajuzi naomba waje wanipe changamaoto za hii biashara napenda kujua changamoto ili nijipange kisawasawa kuliko kujua faida zake tuu pekee.... Mahali wanapopatikana nshapajua ingawa sio sanaa nlikua nawaza na masoko yake nna tanguliza shukrani zangu za dhati