Naombeni kuelemishww kuna mzigo fulani hivi nimeagiza alixpress mpaka leo sijaupata ukitrack mzigo unaonyesha upo destination center lakinj ukieda haupo wadau wwnasema subiri wautafute ujipatikana watanijulisha kwa cm ni mda kidogo kunazia mwezi wa 10 tarehe 1. Mpaka leo nashindwa nianzia wapi
Sent using
Jamii Forums mobile app