Nataka kuacha kazi, ushauri tafadhali!

Nataka kuacha kazi, ushauri tafadhali!

Samahani kwa nitakaye mkwaza kwa hili.


Kuacha kazi kuna pande mbili,,
1. Kufanikiwa na kuishukuru akili iliyokutuma kufanya hivo na
2. Kushindwa na kujutia hasa kwa kuilaumu akili iliyokutuma kufanya hivo

Ikumbukwe hakuna asiye bisha kua ukiajiriwa ujue unafanya kazi kwa aliyejiajiri kataa ukubali na ukifuatulia chenye gharama hua ni bora

Kujiajiri ni bora na kuna gharama yake kwani unapoajoriwa na mtu inaonekana kabisa ujuzi ulio nao umeahindwa kuutumia na ukakubali akili ya mtu aliyejiajiri kuutumia,, hapo mi nasema ni mgando wa fikra na kutafuta unafuu wa maisha pasipo ku-u- weka uhalisia wa maisha

Naamini watanzania wengi hasa vijana tunaishi maisha ya maigizo sana na hicho hutufanya sisi kushindwa kufanya maamuzi kwani tumeshindwa kujitoa katika dimbwi la kutegemea akili zetu, yaani tumekua tegemezi kwa kila kitu,,
Kingene sisi ni wavivu sanaa na ndio tunapenda kutumikishwa na mtu aliyefanya juhudi akaukana uvivu wa kufikiri na kutenda, kwa mfano mpaka hapo yawezekana hauna katiba ya maisha yako ndio maana unashindwa kuamua.
Cha kukushauri sasa ni hiki,,


Kama unataka kuacha kazi jiandae katika kila nyanja
Kisaikolojia
Kiakili
Kiuchumi( matumizi)
Na vilevile unapaswa uandike project ya maisha yako inje ya kazi ili itumike kukuongoza utakapo kua inje ya kituo
Ukumbuke kabisa kua ukijiari usitegemee kukosolewa kwa utendaji m bovu utakao ufanya na hapo ndio itakua kifoa cha fikra kitakukumba,, ujuzi uliokua unaufanyia kazi kule uzidishe mara dufu ili kuongeza uzalishaji wako hapo jipe mda fuatilia jeee uko ndani ya chaki ya mipango yako??


Ongeza juhudi katika kazi utakayoichagua ipe muda zaidi ya ule wa kazi ya kuajiriwa tune your mind epuka mawazo finyu ya kuwaza kummilikisha ujuzi mtu mwingine. Jitume na amua kwa juhudi.

Yafuatayo yazingatie kwa manufaa yako
1. Andaa mchanganuo wa kazi unayotaka kujiajiri kisha ufanyie utafiti
2. Anza sasa baada ya kumaliza mchanganua lakini hakikisha umeuchambua vizuri kama unavofanya hapo offisini kwa muhindi
3. Muandae mkeo awe wa kukutia moyo na kukushika mkono kwani ikumbukwe unaingia katika mapambano
4. Punguza matumizi kwako kwa kila namna mpak mshahala wako unaojilipa baada ya kazi mf.starehe, burudani n.k
4. Acha wizi ndani mwako na hasa tabia ya udokozi, hapa namanisha unachukua kijisent hata kidogo halafu hata hukiandikii kinapotea tuu hivihivi bila ya kujua ukifanya hivo mwisho wa siku utashindwa kujua gharama halisi ya maisha yako kwa kipindi unachojifanyia kazi

Hayo ni baadhi tu ya ushauri wangu wa bure

IPE AKILI NAFASI YA KUPAMBANA KWA MANUFAAA YA NAFSI YAKE NA SI KWA MANUFAA YA MUHINDI
IKUMBUKWE KUA NAFSI YALO INAUMIA KUONA AKILI YAKO INATESEKA KWA AJIRI YA MUHINDI
Mkuu ubarikiwe sana.
 
Biashara kwa wakati wa mhe huyu ni ngumu lakini unaweza kama huna roho nyepesi ni uamuzi wa busara lakini kabla ya kuacha jua unaenda kufanya biashara gani usione jirani yako kafanikiwa kwa biashara fulani na ww ukataka kuifanya JUA BIASHARA ZINA SIRI KUBWA SANA
 
KWA ELIMU YA MADRASSA..AKA CHUO... NI KWELI KABISA PESA YA MUHINDI HUWEZI KUIFANYIA SHUGHULI YA MAENDELEO SABABU INAKUWA INA MAJINI.
PILI KUHUSU KUACHA KAZI..USIACHEEE...UKIACHA UTAENDA WAPI NA MTAANI MAISHA MAGUMU...KOMAA HAPOHAPO KWA MUHINDI ILA CHA KUFANYA UWE MTU WA KUJIPENDEKEZA KWA BOSS NA KUMPA MAJUNGU YA WAFANYAKAZI WENZIO

PIA USIWE MTU WA KUPIGA PAMBA..UKIWA UNAVAA SANA BOSS ATAJUA ANAKULIPA PESA NDEFU HIVYO ATAKUPUNGUZIA HICHO KI MILIONI NA ATAKULIPA LAKI 3. JITAHIDI UWE MTU WA KULIALIA KILA SIKU SHIDA KWA BOSS NA UWE MTU WA KUKOPAKOPA KWA BOSI WAKO,...

KUHUSU HELA YA MUHINDI NA WAPEMBA KUKAA NA KUFANYIA MAMBO YA MAENDELEO..KWANZA HAKIKISHA BOSS HAKULIPI MSHAHARA KWA KESHI...AWE ANALIPIA BANKI. KWA VILE NAO WAJANJA WANATAKA KUKUPA CHUMA ULETE WATAKULAZIMISHA KUKULIPA KESHI...SASA NITAKUPELEKA KWA MTAALAMU AKAKUPE DAWA NA MAFUSHO...UTAFUNGA HIRIZI SIKU YA KUPOKEA MSHAHARA UNAIVAA...PESA ITAKAA TUU.

DOZII HII INAKUTOSHA KWA KUANZIA HASA UKICHUKULIA MADRASSA HUKUPEWA MAUJANJA HAYA...HAYA YANAITWA ELIMU DUNIA...ELIMU AKHERA IPO NA KUNA WATAALAMU WAKE..MIE KWA LEO SITOKUFUNDISHA ZAIDI YA HAPO.
Ww sasa ndo mbongo land mwenyewe
 
Atajuta maisha yake yote?[emoji15] nyie ndo.wale bila kuajiriwa hamjaishi bado

HUYU ATAKUWA NI YULE MKUU WA MKOA WA MOROGORO ALIYETUMBULIWA JIPU AKALIA KUMUOMBA MAGU AMRUDISHE KATOKA FAMILIA DUNI..ANAITWA DOKTA NANI SIJUI?
 
Samahani kwa nitakaye mkwaza kwa hili.


Kuacha kazi kuna pande mbili,,
1. Kufanikiwa na kuishukuru akili iliyokutuma kufanya hivo na
2. Kushindwa na kujutia hasa kwa kuilaumu akili iliyokutuma kufanya hivo

Ikumbukwe hakuna asiye bisha kua ukiajiriwa ujue unafanya kazi kwa aliyejiajiri kataa ukubali na ukifuatulia chenye gharama hua ni bora

Kujiajiri ni bora na kuna gharama yake kwani unapoajoriwa na mtu inaonekana kabisa ujuzi ulio nao umeahindwa kuutumia na ukakubali akili ya mtu aliyejiajiri kuutumia,, hapo mi nasema ni mgando wa fikra na kutafuta unafuu wa maisha pasipo ku-u- weka uhalisia wa maisha

Naamini watanzania wengi hasa vijana tunaishi maisha ya maigizo sana na hicho hutufanya sisi kushindwa kufanya maamuzi kwani tumeshindwa kujitoa katika dimbwi la kutegemea akili zetu, yaani tumekua tegemezi kwa kila kitu,,
Kingene sisi ni wavivu sanaa na ndio tunapenda kutumikishwa na mtu aliyefanya juhudi akaukana uvivu wa kufikiri na kutenda, kwa mfano mpaka hapo yawezekana hauna katiba ya maisha yako ndio maana unashindwa kuamua.
Cha kukushauri sasa ni hiki,,


Kama unataka kuacha kazi jiandae katika kila nyanja
Kisaikolojia
Kiakili
Kiuchumi( matumizi)
Na vilevile unapaswa uandike project ya maisha yako inje ya kazi ili itumike kukuongoza utakapo kua inje ya kituo
Ukumbuke kabisa kua ukijiari usitegemee kukosolewa kwa utendaji m bovu utakao ufanya na hapo ndio itakua kifoa cha fikra kitakukumba,, ujuzi uliokua unaufanyia kazi kule uzidishe mara dufu ili kuongeza uzalishaji wako hapo jipe mda fuatilia jeee uko ndani ya chaki ya mipango yako??


Ongeza juhudi katika kazi utakayoichagua ipe muda zaidi ya ule wa kazi ya kuajiriwa tune your mind epuka mawazo finyu ya kuwaza kummilikisha ujuzi mtu mwingine. Jitume na amua kwa juhudi.

Yafuatayo yazingatie kwa manufaa yako
1. Andaa mchanganuo wa kazi unayotaka kujiajiri kisha ufanyie utafiti
2. Anza sasa baada ya kumaliza mchanganua lakini hakikisha umeuchambua vizuri kama unavofanya hapo offisini kwa muhindi
3. Muandae mkeo awe wa kukutia moyo na kukushika mkono kwani ikumbukwe unaingia katika mapambano
4. Punguza matumizi kwako kwa kila namna mpak mshahala wako unaojilipa baada ya kazi mf.starehe, burudani n.k
4. Acha wizi ndani mwako na hasa tabia ya udokozi, hapa namanisha unachukua kijisent hata kidogo halafu hata hukiandikii kinapotea tuu hivihivi bila ya kujua ukifanya hivo mwisho wa siku utashindwa kujua gharama halisi ya maisha yako kwa kipindi unachojifanyia kazi

Hayo ni baadhi tu ya ushauri wangu wa bure

IPE AKILI NAFASI YA KUPAMBANA KWA MANUFAAA YA NAFSI YAKE NA SI KWA MANUFAA YA MUHINDI
IKUMBUKWE KUA NAFSI YALO INAUMIA KUONA AKILI YAKO INATESEKA KWA AJIRI YA MUHINDI


NIMEIPENDA HOJA YAKO HASA INAPOMTAKA AJIANDAE KWA MAPAMBANO NA KUTOA KIALA NGUVU NA RASILIMALI AKILI-YAKE KWA AJILI YA KAZI ATAKAYOJIAJIRI MWENYEWE....

SAFI SANA MKUU... HAWA VIJANA WANAHITAJI KUTIWA MOYO ILI MIAKA 10 IJAYO TUWE NA KINA MOHAMED DEWJI ENTERPRISES KAMA 100 HAPA TANZANIA KISHA TUKACHUANE HUKO FORBES.

YES WE CAN....
 
n
Mkuu Tutor B nahitaji tuongee inaonekana wewe ni msaada sana nachotaka kufanya wewe tayari umefanya
nipigie au nitumie PM ili tupeane contact tuongee vizuri kka; Wahindi wana mambo ya ajabu sana .. fuatilia hata wakati anakupa hela hakupi mkono kwa mkono, anaweka mezani uchukue, sometimes atakupa kwa mkono wa kushoto,
 
Samahani kwa nitakaye mkwaza kwa hili.


Kuacha kazi kuna pande mbili,,
1. Kufanikiwa na kuishukuru akili iliyokutuma kufanya hivo na
2. Kushindwa na kujutia hasa kwa kuilaumu akili iliyokutuma kufanya hivo

Ikumbukwe hakuna asiye bisha kua ukiajiriwa ujue unafanya kazi kwa aliyejiajiri kataa ukubali na ukifuatulia chenye gharama hua ni bora

Kujiajiri ni bora na kuna gharama yake kwani unapoajoriwa na mtu inaonekana kabisa ujuzi ulio nao umeahindwa kuutumia na ukakubali akili ya mtu aliyejiajiri kuutumia,, hapo mi nasema ni mgando wa fikra na kutafuta unafuu wa maisha pasipo ku-u- weka uhalisia wa maisha

Naamini watanzania wengi hasa vijana tunaishi maisha ya maigizo sana na hicho hutufanya sisi kushindwa kufanya maamuzi kwani tumeshindwa kujitoa katika dimbwi la kutegemea akili zetu, yaani tumekua tegemezi kwa kila kitu,,
Kingene sisi ni wavivu sanaa na ndio tunapenda kutumikishwa na mtu aliyefanya juhudi akaukana uvivu wa kufikiri na kutenda, kwa mfano mpaka hapo yawezekana hauna katiba ya maisha yako ndio maana unashindwa kuamua.
Cha kukushauri sasa ni hiki,,


Kama unataka kuacha kazi jiandae katika kila nyanja
Kisaikolojia
Kiakili
Kiuchumi( matumizi)
Na vilevile unapaswa uandike project ya maisha yako inje ya kazi ili itumike kukuongoza utakapo kua inje ya kituo
Ukumbuke kabisa kua ukijiari usitegemee kukosolewa kwa utendaji m bovu utakao ufanya na hapo ndio itakua kifoa cha fikra kitakukumba,, ujuzi uliokua unaufanyia kazi kule uzidishe mara dufu ili kuongeza uzalishaji wako hapo jipe mda fuatilia jeee uko ndani ya chaki ya mipango yako??


Ongeza juhudi katika kazi utakayoichagua ipe muda zaidi ya ule wa kazi ya kuajiriwa tune your mind epuka mawazo finyu ya kuwaza kummilikisha ujuzi mtu mwingine. Jitume na amua kwa juhudi.

Yafuatayo yazingatie kwa manufaa yako
1. Andaa mchanganuo wa kazi unayotaka kujiajiri kisha ufanyie utafiti
2. Anza sasa baada ya kumaliza mchanganua lakini hakikisha umeuchambua vizuri kama unavofanya hapo offisini kwa muhindi
3. Muandae mkeo awe wa kukutia moyo na kukushika mkono kwani ikumbukwe unaingia katika mapambano
4. Punguza matumizi kwako kwa kila namna mpak mshahala wako unaojilipa baada ya kazi mf.starehe, burudani n.k
4. Acha wizi ndani mwako na hasa tabia ya udokozi, hapa namanisha unachukua kijisent hata kidogo halafu hata hukiandikii kinapotea tuu hivihivi bila ya kujua ukifanya hivo mwisho wa siku utashindwa kujua gharama halisi ya maisha yako kwa kipindi unachojifanyia kazi

Hayo ni baadhi tu ya ushauri wangu wa bure

IPE AKILI NAFASI YA KUPAMBANA KWA MANUFAAA YA NAFSI YAKE NA SI KWA MANUFAA YA MUHINDI
IKUMBUKWE KUA NAFSI YALO INAUMIA KUONA AKILI YAKO INATESEKA KWA AJIRI YA MUHINDI
SAFI SANA MKUU, NAAMINI WANAOPINGA WAMESOMA NA WAMEELEWA VYEMA. ...
 
Kwa uzoefu wangu,kunamahitaji ya muhimu kama chakula,malazi(kodi na bili),afya na ada(shule kwa watoto)...tafuta mradi wowote kwanza ambao utaweza kucover hizo gharama,ukishafanikiwa ndio utakuwa na nafasi kubwa ya kuacha kazi na kuanza na miradi mikubwa kwa ajili ya maendeleo.
 
Hua napenda sana ile kauli ya MUDA NDOO HUUU


Utakumbuka kujiajiri ukiwa umestaafu hapo ndio utaona gumu wa maisha. Au unataka kujiajiri mpaks ufukuzwe kazi kwa dharau??? Ikumbukwe ukiacha kazi ili ujiajiri ujue kabisa umeitoa akili yako jera,, ambapo watu hupanda na kuvuna lakini kwenye kula hupimiwa na kupangiwa muda


Hongereni sana
 
Ukweli ni kwamba,mtu awaye yote kama anaweza kuiwajibisha akili yake anaweza kujitegemea kuliko kuajiliwa na kuishi kwa hofu na wasi wasi,madeni na mawazo ya uhitaji usioweza kuumudu.kijana yeyote,choma mahindi,kaanga chips,lima mazao,chomelea vyuma,umiza akili kubuni vitu vipya,fanya kila aina ya kazi inayokuja mbele yako nakuhakikishia utatoka,sema kuna tatizo naliona kwetu hapa Tz.hua tunaishia kufanya mipango ya mdomoni bila kutekeleza,ila ukizikana suti kwa muda na kubadilisha mayai ya kienyeji na kisasa,sijui mala mapombe ya kila aina na kufungua zipu kusikoisha,ukiepuka vitu kama hvi na ukafanya kazi kwa bidii utafanikiwa tu.mimi hapa ni dereva ktk shirika lakini nimeshachukia kupita kiasi juu ya kuajiliwa,nimefanya hv.
1.nimenunua Carina yangu TI ili kujiandaa kua taxi man mjini
2.nimepanga pesa yangu ya NSSF kununua gari ya pili ntakayompa mtu aniingizie japo laki moja per week.
3.nimeshapiga bustani ya matikiti maji na kabeji kwa wingi mpaka napata raha.
4.namuomba MUNGU kwa mipango yangu nisivuke mwezi wa sita nikiwa ktk ajira za watu ilihali na mimi nina akili nilizopewa na MUNGU
 
KWA BIASHARA YAGAS NIONE

MTAJI MDOGO KOSEA POSN YAKUUZIA INAKULA KWAKO...UKIPATIA LAZIMA UJIONGEZE VYEMA...USIHOFU NAHILOO...
 
naomba niamdike ushauri Wang kwa Herefi kubwa .


USITHUBUTU ,USITHUBUTU,USITHUBUTU ...KUACHA KAZI . TENA KAMA HAUNA KAZI NYINGINE ..

USITHUBUTU UTAJUTA MAISHA YAKO YOTE
Acha kumtisha mshkaji.
 
Kanuni za kazi.
Kama unaona ni kazi kufanya kazi basi acha kazi uone ilivyo kazi kukaa bila kazi.
Hivyo nakushauri labla ya kuacha kazi jiandae bahati nzuri mkeo hajapata ajira ongea naye na ikiwezekana muanzishe biashara hata ya genge hapo nyumbani siyo lazima uende kyera kubeba mchele mkuu
 
KWA BIASHARA YAGAS NIONE

MTAJI MDOGO KOSEA POSN YAKUUZIA INAKULA KWAKO...UKIPATIA LAZIMA UJIONGEZE VYEMA...USIHOFU NAHILOO...
Mkuu hapa sijakupata vizuri
 
Back
Top Bottom