Unaweza ukapata kwa 6m kwa mmiliki halali tatizo udalali umekuwa mwingi ndio maana gari zinaonekana bei kubwaNahitaji gari aina ist bajeti yangu ni 5 to 6m gari iwe yako sio dalali sinunui kwa dalali
Ndio maana nimeweka hapa sitaki dalali wanasumbua
Kama Site gani MkuuNenda kwenye site za wauza magari.
Matairi atayaweka.Hiyo IST ya milion 5 au 6 itakuwa haina matairi mkuu
Au Atakuwa nayo storeMatairi atayaweka.
Jesus is Savior
Mkuu ya uhakika unaweza pata kwa bei gani?Hiyo IST ya milion 5 au 6 itakuwa haina matairi mkuu
kwa hiyo bajeti yako jiandae kununua gar yenye matatizo mengi ya kuifundiNahitaji gari aina ist bajeti yangu ni 5 to 6m gari iwe yako sio dalali sinunui kwa dalali
IST second hand Hapa bongo Andaa milion 8 na ikizidi sana milion 9Mkuu ya uhakika unaweza pata kwa bei gani?
Dalali analenga kwa 6m anauza 7.5m mpaka 8.5m inategemea na namba!Ndio maana nimeweka hapa sitaki dalali wanasumbua
Kwa hio pesa unaipata ikiwa na hali nzuri sana endapo ukatuliza mapepe ila hizo za 5m mpaka 6m jua lazma iwe na vipengele aidha wamekata engine imekula mswaki ama ishagongwa gongwa sana body!IST second hand Hapa bongo Andaa milion 8 na ikizidi sana milion 9
Upo sahihi kabisa mkuuKwa hio pesa unaipata ikiwa na hali nzuri sana endapo ukatuliza mapepe ila hizo za 5m mpaka 6m jua lazma iwe na vipengele aidha wamekata engine imekula mswaki ama ishagongwa gongwa sana body!
Bora apate C ila ilionyooka kwa 6m sio mbaya! Kinachoboa ni ile unanunua gari unaanza kuhangaika na mafundi on the spot! Inakera sana yani😅Utapata ya ml 6 lkn itakuwa no c