Natafuta

5. Natafuta rafiki wa kubadilishana mawazo. Awe wa kike au wa kiume sawa tu
Ila ikiwa ni wa kiume awe shoga ili baadae asije akanitongoza.
Ntakusaidia kwa hili na sitakutongoza coz namuheshimu sana Saint Ivuga
 
Last edited by a moderator:
mbona mimi ulinitosa? hujambo mupenzi wangu wa zamani

Smile sikukutosa ila ulitosika mwenyewe. Ingia bado nafasi yako ipo wazi ingawa najua una wivu kuliko wake wote wa King Mswati IV. . . . !
 
Last edited by a moderator:
Mwali bana,haya kila la kheri,ila njemba zenyewe kama ni hawa wakware wa chichat........sijui kama utaambulia cha maana.
 
Mwali bana,haya kila la kheri,ila njemba zenyewe kama ni hawa wakware wa chichat........sijui kama utaambulia cha maana.

Bishanga!
Umeniskitisha sana!
Unakumbuka mwaka jana wakati umetoka Bkb unarudi Dar, ulipofika Mwz ukakwama fare , nikakuombea lifti ya lory pale Mwaloni , wakakupakia nikakupa Mkaa gunia 3 na Kuku wa 3 umpelekee Erickb52 , kwa kua lile gari lilikua via Ar.
Hukufikisha chochote!
Tumekushtaki kwa The secretary, hakuna hatua aliyochukua! (huenda alishiriki kula zawadi)
Nway nimekusamehe bure! Najua siku njaa zikikuishia utakua mtu mzuri.
 
Last edited by a moderator:
We kuna jambo unalitaka wee,kule kwetu tunaliita ,"ugambile lukuni"
 
Hahahaaaaaaaaaa..
Mie naomba niwe rafikiyo, shosti.
 
mimi sina mapenzi na wachaga! so consider ua self unsuccesful!

Jana tu..jaana..kuna binti nlipomwambia mi mchaga na stori zikaisha.
Jaaaaana....mpaka sasa sijui kwanini.

I mean siongei kwa kulalamika..sina ulimi mzi..mzito kweli..i spend considerably..i mean whats t wit chaggas Smile??!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…