mkuu vuna mkaa kadri uwezavyo ndio nishati iliyobaki kwa sisi walala hai
kwani ccm wamepandisha bei ya mafuta ya taa,gas,umeme....
hakuna nushati rahisi kwetu zaidi ya mkaa.
__We unayesema asikate miti tupe nishati mbadala kwa sisi wakaanga chips na kiti moto!!!