Natafuta wateja wa mkaa...

tindikalikali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
4,854
Reaction score
1,143
Wakuu nimeanza project ya kuchoma mkaa vijiji vilivyopo kando ya barabara ya Mbeya- Chunya(Ilea), wiki ijayo nitakamilisha gunia 100. Nina mpango wa kuusafirisha mpaka Mbeya mjini, hivyo kwa walio Mbeya mjini , mwenye uhitaji anipm!!
 
Bila shaka umepanda miti mingne kureplace uliyokata kama wasemavyo kata then ... Malizia mwenyewe mkurugenz.
 
Aise w jamaa chunya kuna ufugaj dhahabu kilimo napia biashar..kuna kila fursa z uchumi,why kuharibu mazingira mku?SHAME
 
mkuu vuna mkaa kadri uwezavyo ndio nishati iliyobaki kwa sisi walala hai
kwani ccm wamepandisha bei ya mafuta ya taa,gas,umeme....
hakuna nushati rahisi kwetu zaidi ya mkaa.
__We unayesema asikate miti tupe nishati mbadala kwa sisi wakaanga chips na kiti moto!!!
 
Aise w jamaa chunya kuna ufugaj dhahabu kilimo napia biashar..kuna kila fursa z uchumi,why kuharibu mazingira mku?SHAME

wateja wapo ndiyo maana tunachoma mkaa...mpango ni kutengeneza gunia 1000 mzee!!
 

ni kweli mkuu!!
 
tatizo ni bei ya mkaa,bei ya mkaa,bei ya mkaa,........... taja bei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…