Jenseny
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 1,743
- 1,732
age iwe kwene 18-30 wasafi
wawe wanaishi Dar es salaam
wawe wana malego ya kuwaza mbali ikibidi kuwa share holder wa kampuni baadae
waweze kujua kutumia mitandao ya kijamii vizuri
wawe tayari kufanya kazi bila kushurutishwa
wasiwaze saana kuhusu mshahara mkubwa kwani ndio tunaanza wawe tayari kufanya kazi kwenye mazingira ya wazi coco kwenye sheli kariakoo na kwene bars kwa baadae
Sent using Jamii Forums mobile app
wawe wanaishi Dar es salaam
wawe wana malego ya kuwaza mbali ikibidi kuwa share holder wa kampuni baadae
waweze kujua kutumia mitandao ya kijamii vizuri
wawe tayari kufanya kazi bila kushurutishwa
wasiwaze saana kuhusu mshahara mkubwa kwani ndio tunaanza wawe tayari kufanya kazi kwenye mazingira ya wazi coco kwenye sheli kariakoo na kwene bars kwa baadae
Sent using Jamii Forums mobile app