scaltingscalting
Senior Member
- Feb 10, 2017
- 148
- 55
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 natafuta mke wa maisha umri sio tatizo kikubwa awe na mapenzi ya dhati dini sio shida kwani ataendelea kusali alipokuwa
SawaMimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 natafuta mke wa maisha umri sio tatizo kikubwa awe na mapenzi ya dhati dini sio shida kwani ataendelea kusali alipokuwa
Unakazi gani?Sawa
Nakupenda kwa dhatiMimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 natafuta mke wa maisha umri sio tatizo kikubwa awe na mapenzi ya dhati dini sio shida kwani ataendelea kusali alipokuwa
Hakuna shida mkuu kwani mapenzi sio ya siku moja kama hafai nampisha tu huwa mimi sio mbishi kabisaMtu awe na mapenzi ya kweli baada tu ya kuidoma sms yako? Hii itakuwa ngumu sana.
Hao unaowaona umekosa, je huku gizani? Think big bro
Njoo pmNakupenda kwa dhati![]()
![]()
Hata miaka 60 ni sawa singalii sura sana kikubwa moyoKwahyo akija na umri miaka 40 sawa tuu....lazima uwe na limitation kijana.....otherwise upo sahihi kwa unachotaka. Best wshes....huwez jua utampata wapi mke wako.....hata humu pia waweza mpta vzur sana tuu....kaza kamba punguza kuwa selective.......
Hata miaka 60 ni sawa singalii sura wala kipatoKwahyo akija na umri miaka 40 sawa tuu....lazima uwe na limitation kijana.....otherwise upo sahihi kwa unachotaka. Best wshes....huwez jua utampata wapi mke wako.....hata humu pia waweza mpta vzur sana tuu....kaza kamba punguza kuwa selective.......
Sky wa mbali ndio mzurUtapendaje kitu ambacho hujakiona, kama hao waliokuona hamna aliyekupenda mkuu, kila la kheri.
OK sweety acha kutafuta sasaNjoo pm
Sina tabia hiyo ila pia kuonewa naogopaEti dini sio tatizo basi we unataka wa kuzini nae
SawaOK sweety acha kutafuta sasa
Naomba uje pmSawa