Inaprintiwa kuanzia 500kg 1kg ni 18000 for mor info nitafute mkuu
We hatari, kilo moja 18 000? mfuko wa cement ndo bei yake, sasa faida inatoka wapi? au ni tsh180 kwa mfuko labda umekosea
Husika na kichwa cha habari hapo juu, natafuta wachapishaji wa mifuko ya plastic kama ile ya mikate lenye lebo pamoja na description ya bidhaa. Tafadhali anaefahamu naomba anipe mwongozo.
0755815174