Nina hakika ungekuwa mchawi kweli usinge subiri kusikia bali ungeshawajua kwa nguvu zao tena na majina yao
Uchawi ni kitu cha kificho, kilichojaa u siri na woga hakifanywi waziwazi wala kuhubiriwa kama mkutano wa siasa
Nina hakika ungekuwa mchawi kweli usinge subiri kusikia bali ungeshawajua kwa nguvu zao tena na majina yao
Uchawi ni kitu cha kificho, kilichojaa u siri na woga hakifanywi waziwazi wala kuhubiriwa kama mkutano wa siasa
Halafu mkuu mshana jr,nani amekuambia uchawi ni siri siku hizi?hakuna uficho tena,hakuna woga....na hata ukiwa umefuzu hadi ngazi ya 7 huwezi kumjua mchawi kwa jina,labda kwa sura.