Natafuta wa kumrithisha mikoba, kilinge

Natafuta wa kumrithisha mikoba, kilinge

Nawasiliana na mwanasheria wangu nataka kuwashotaki hawa watumishi wa makanisa ya kutusemankila kukiha kuhusu imani zetu za jadi eti siye wachawi mbona sisi hatujawahi sema vibaya imani yao
 
Nawasiliana na mwanasheria wangu nataka kuwashotaki hawa watumishi wa makanisa ya kutusemankila kukiha kuhusu imani zetu za jadi eti siye wachawi mbona sisi hatujawahi sema vibaya imani yao
Sahihi kabisa.. Halafu madhahuni wanatukandia lakini wakitoka hapo wanatutafuta
 
Toka nimeacha maswala ya kanisa nimekuwa mtu wa amani sana sina hofu juu ya maisha tena... vile vitisho vya moto wa milele mara funhu la kumi michango kibao hamna tena kule manyara kanisa katoliki limeruhusu maombi ya kimila kanisani....
 
Nawasiliana na mwanasheria wangu nataka kuwashotaki hawa watumishi wa makanisa ya kutusemankila kukiha kuhusu imani zetu za jadi eti siye wachawi mbona sisi hatujawahi sema vibaya imani yao
Toka nimeacha maswala ya kanisa nimekuwa mtu wa amani sana sina hofu juu ya maisha tena... vile vitisho vya moto wa milele mara funhu la kumi michango kibao hamna tena kule manyara kanisa katoliki limeruhusu maombi ya kimila kanisani....
 
Toka nimeacha maswala ya kanisa nimekuwa mtu wa amani sana sina hofu juu ya maisha tena... vile vitisho vya moto wa milele mara funhu la kumi michango kibao hamna tena kule manyara kanisa katoliki limeruhusu maombi ya kimila kanisani....
Hakuna cha moto wala mioto ya milele😜
 
Ukubwa wa eneo ni miguu 50 kwa 40. Najiandaa kurudi kumtumikia mola wangu..infact nitakuwa na kituo changu cha huduma za kiroho zisizochangamana tena na shirki.
MUNGU NISAIDIE
 
Yasikilizeni maneno ya Mungu
IMG-20210724-WA0050.jpg
 
Back
Top Bottom