KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 80
Nina mke yupo masomoni ulaya kwasasa,kurudi kwake bado sana.nipo na afya njema na salama sana .naishi sinza peke yangu,nina miaka 45,mrefu,brown,kilo 105,mimi ni mnywaji pombe kwa starehe.nadhani siwezi kukaa bila mpenzi kwasababu napata shida .najiamini kwamba tutafanya vipimo na kutumia zana siku zote kwani sio kuoana.nahitaji mdada mwenye miaka kati ya 38-50,asiwe mwembamba,awe na kawowo mpaka liwowo,miguu mizuri,nywele napenda sana kwa ufupi awe na umbo la kibantu .elimu sio neno ila awe na kazi kidogo ,kama hana basi nitamtafutia.ukweli sio uwongo na ndio uwazi wenyewe ,hata mke wangu nitamjulisha anipatie ruhusa ,kwanini tudanganyane?