Natafuta vyuo vizuri kwa kozi ya ICT diploma

Natafuta vyuo vizuri kwa kozi ya ICT diploma

Habari ndugu zangu...
naomba mnisaidie kujua vyuo vizuri vinavyotoa mafunzo ya IT, ICT au COMPUTER SCIENCE..Ngazi ya DIPLOMA ....na fees zao kama ikiwezekana..
Kwasababu nataka mwakani nikasomee kozi hiyo ngazi ya DIPLOMA

NITASHUKURU SANA KWA MAWAZO YENU...[emoji122][emoji122][emoji122]
Ili nikushauri, naomba kujua hali yako ya kiuchumi

Maana mimi nimesoma certificate mpaka masters mambo ya computer
 
Nakuambia ivyo kwa kuwa navijua vyote coz

~certificate nimesoma u cc (ICT)
~diploma nimesoma udsm (COMPUTER SCIENCE )
~degree nimesoma udom (SOFTWARE ENGINEERING )
~masters nimesoma dit (COMPUTER ENGINEERING )
 
Yah....Kuna mtu kasoma UCC namjua alikuwa na D tatu na mswaki wa hesabu

COICT,DIT,Arusha tech bila ya D ya hesabu hata hawakufikirii
Usemayo ni Kweli huko nyuma NACTE walikua wapowapo tu sio kama sasa wanabanwa sana na wao wanavibana vyuo.

Namfahamu mdada aliyemaliza Dip UCC kwa D 3 tu na juzi ka graduate Bachelor's degree ya Computer Science Uhasibu IAA Arusha
 
Nakuambia ivyo kwa kuwa navijua vyote coz

~certificate nimesoma u cc (ICT)
~diploma nimesoma udsm (COMPUTER SCIENCE )
~degree nimesoma udom (SOFTWARE ENGINEERING )
~masters nimesoma dit (COMPUTER ENGINEERING )
Kwa uandishi wako mbovu hata siamini kama una Masters Degree
 
Nakuambia ivyo kwa kuwa navijua vyote coz

~certificate nimesoma u cc (ICT)
~diploma nimesoma udsm (COMPUTER SCIENCE )
~degree nimesoma udom (SOFTWARE ENGINEERING )
~masters nimesoma dit (COMPUTER ENGINEERING )
Vip uko wap now.....

Nasa au urusi na edward snowden??
 
Kaka asikudanganye MTU bachelor of science degree bila pass ya mathematics haiwezekani its impossible diploma unaweza soma soma kwenye hivyo vyuo priva
te kama ucc coz wao wanataka pesa tuu ulipe ada but utashindwa kwenda degree kaka I mean bsc yoyote ile solve tatizo usikimbie tatizo
 
Mie naona mara nyng hawana msuli wa kukarrshana mambo zaid ya vitendo. Maana nlwah soma chuo kmoja jiar na CBE ya dar Adv cha mtt kwa ule mwendo.

Wakubwa wanatanielewa n kp
Dar Es Salaam Institute Of Technology
 
Kaka asikudanganye MTU bachelor of science degree bila pass ya mathematics haiwezekani its impossible diploma unaweza soma soma kwenye hivyo vyuo priva
te kama ucc coz wao wanataka pesa tuu ulipe ada but utashindwa kwenda degree kaka I mean bsc yoyote ile solve tatizo usikimbie tatizo
Kwahiyo mkuu unamshaurije jamaa?
 
Back
Top Bottom