Natafuta vyuo vizuri kwa kozi ya ICT diploma

Natafuta vyuo vizuri kwa kozi ya ICT diploma

Vp Math...wanaiangalia...maana hiyo math nilifail...ila PHYSICS ndo nilipass..Sasa sijui inakiwaje apo
Nilitaka kukushauri uende kwa aliemzaa UCC yani COICT UDSM lakini kwa kuwa ulifeli math nenda tu kwa mtoto wa COICT yani UCC
 
Habari ndugu zangu...
naomba mnisaidie kujua vyuo vizuri vinavyotoa mafunzo ya IT, ICT au COMPUTER SCIENCE..Ngazi ya DIPLOMA ....na fees zao kama ikiwezekana..
Kwasababu nataka mwakani nikasomee kozi hiyo ngazi ya DIPLOMA

NITASHUKURU SANA KWA MAWAZO YENU...[emoji122][emoji122][emoji122]
Nenda SUA.
 
Yah....Kuna mtu kasoma UCC namjua alikuwa na D tatu na mswaki wa hesabu

COICT,DIT,Arusha tech bila ya D ya hesabu hata hawakufikirii
Hivi ni kwann wasikufikirie...na vyuo vingine vikufikirie...tofauti yao ni ipi mkuu?
 
Tofauti ni Coict ipo academical so diploma yao wanaitoa kama academical path ya kwenda university

DIT,Arusha Tech na MUST ni technical colleges wanatoa matechnician wanaoweza kuja kufikia level ya ma enginner

UCC ni proffesional based wao wewe kuishia diploma ndio malengo yao kwa kuwa ndio malengo ya UCC kuanzishwa
 
Back
Top Bottom