Natafuta vyuo vizuri kwa kozi ya ICT diploma

Natafuta vyuo vizuri kwa kozi ya ICT diploma

SuperHb

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2016
Posts
1,012
Reaction score
1,023
Habari ndugu zangu...
naomba mnisaidie kujua vyuo vizuri vinavyotoa mafunzo ya IT, ICT au COMPUTER SCIENCE..Ngazi ya DIPLOMA ....na fees zao kama ikiwezekana..
Kwasababu nataka mwakani nikasomee kozi hiyo ngazi ya DIPLOMA

NITASHUKURU SANA KWA MAWAZO YENU...[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Habari ndugu zangu...
naomba mnisaidie kujua vyuo vizuri vinavyotoa mafunzo ya IT, ICT au COMPUTER SCIENCE..Ngazi ya DIPLOMA ....na fees zao kama ikiwezekana..
Kwasababu nataka mwakani nikasomee kozi hiyo ngazi ya DIPLOMA

NITASHUKURU SANA KWA MAWAZO YENU...[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Karibu chuo kikuu cha ushirika moshi, hakika hutojutia, ukitoka hapa unajiajiri na utakuwa na uwezo mzuri sana ktk mambo ya ICT
 
Karibu chuo kikuu cha ushirika moshi, hakika hutojutia, ukitoka hapa unajiajiri na utakuwa na uwezo mzuri sana ktk mambo ya ICT
Vp Math...ina matter hapo?
 
Back
Top Bottom