Bulichekah
Member
- Jan 12, 2014
- 68
- 185
Habari wakuu wangu, salute kwenu.
Sina mengi ila naomba mwenye vitabu vinavyohusu upelelezi au ushushushu anipatie soft copy. Nimeona ni muhimu kuwa na ABC kuhusiana na hii sekta maana dunia inakuwa na kupanuka sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina mengi ila naomba mwenye vitabu vinavyohusu upelelezi au ushushushu anipatie soft copy. Nimeona ni muhimu kuwa na ABC kuhusiana na hii sekta maana dunia inakuwa na kupanuka sana.
Sent using Jamii Forums mobile app