Vanlizerfx__
Senior Member
- Jul 7, 2021
- 114
- 189
Habari wana jamiiforums
Kama mnakumbuka nilitoa thread nilikua nahitaji wafanyakazi kwa ajili ya kutengeneza system kama ya blockchain kwa ajili ya kufanya mining ya cryptocurrency hapa Tanzania
Tumefikia asilimia 40% ya system yetu sababu ya upungufu wa skilled na watu professional katika hizi system mwanzo nilitoa 350K kama mshahara kwa mwezi na sasa sabab ya wataalamu wengi kusema hela ni ndogo na kusababisha kutofikia lengo letu mapema sasa tunatoa 750K kwa mwezi
CV zenu zote mtatuma katika hii namba WhatsApp 0759952554 mwisho wa kutuma maombi ni 25/12/2021
PAMOJA TUNAWEZA
Kama mnakumbuka nilitoa thread nilikua nahitaji wafanyakazi kwa ajili ya kutengeneza system kama ya blockchain kwa ajili ya kufanya mining ya cryptocurrency hapa Tanzania
Tumefikia asilimia 40% ya system yetu sababu ya upungufu wa skilled na watu professional katika hizi system mwanzo nilitoa 350K kama mshahara kwa mwezi na sasa sabab ya wataalamu wengi kusema hela ni ndogo na kusababisha kutofikia lengo letu mapema sasa tunatoa 750K kwa mwezi
CV zenu zote mtatuma katika hii namba WhatsApp 0759952554 mwisho wa kutuma maombi ni 25/12/2021
PAMOJA TUNAWEZA