[HASHTAG]#roga[/HASHTAG] roga kuna viwanja vipo maeneo ya kihonda mji mpya karibu na shule ya secondari ya mji mpya, ni vya mzee wangu na jizi juzi alikua akitafuta mteja. kam hutajali niku pm namba yake uongee nae mwenyewe na bei yako hatakataa japo ni vikubwa