natafuta sugar mamy.

natafuta sugar mamy.

msikivuTz

Member
Joined
Apr 17, 2011
Posts
68
Reaction score
407
jamani najua sio maadili ya kitanzania ila kila m2 ana uhuru wa kuishi apendavyo, nina miaka 25 m2 asiye na mme niko tayari kumpa raha ni PM. sipendi wapondaji hapa
 
jamani najua sio maadili ya kitanzania ila kila m2 ana uhuru wa kuishi apendavyo, nina miaka 25 m2 asiye na mme niko tayari kumpa raha ni PM. sipendi wapondaji hapa

Ma-jimama ya siku hz yanavaa dildo, yatakubandua ohooooo! Shauri zako!!!
 
angalia usije ukaparamia vyote maana kuna watu siku hizi wanaua wenzao kwa makusudi na wapo wengi tu hawana waume na wengine hawana wake!
 
Unamtaka wa kuishi nae? Kukusaidia pesa? Kuzaa nae? Kuoa au?

Kuna wanawake wengine miaka iliyowakimbia hawa wanafanya chochote kushikilia mvulana

Kazi kwako
 
sipati picha mnapokuwa wawili mnazima taa au
 
jamani najua sio maadili ya kitanzania ila kila m2 ana uhuru wa kuishi apendavyo, nina miaka 25 m2 asiye na mme niko tayari kumpa raha ni PM. sipendi wapondaji hapa

CAUTION this:"nina miaka 25 m2 asiye na mme":A S check_03: Hapo kwenye Red, weka sawa tangazo lako kabla hujavamiwa na madume.
 
Hii ni hatari. Fanya kazi kijana, usitake miteremko. Mashugamamy ya nini hayo? Usojidanganye kuwa fasta utaenda kwa babu. Lucifer ameshasikia ombi lako, anamleta sasa hivi. Moto wake baada ya wiki 2.
 
Tatizo lako ni nini labda. Hebu tuambie kinachopelekea wewe kuwaza na kutamani hilo. Nadhani hicho kitatupa sababu ya kuendelea kukushauri.
 
vijana wa siku hizi bana wana mambo sana...khaaa yaani miaka 25 si uko chuo wewe unasoma unataka kuanza kuhangaika na mijimama kona bar mara hongera mara miti mirefu utaweza kweli wewe..haya shauri zako bana
 
Una laana wewe, badala ya kuweka life kwenye mstari wewe unawaza kulelewa!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom