Natafuta Solar Backup plan nzuri ya nyumba ya kuishi.

Natafuta Solar Backup plan nzuri ya nyumba ya kuishi.

Don Mangi

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
2,199
Reaction score
855
Nahitaji solar backup plan ya nyumba yangu ya kuishi iwe ina uwezo at least kuwasha fridge ya kawaida, tv set,taa za ndani na nje plus accesories ndogondogo kama laptops na kuchaji simu. nipo dsm kwa atakayenipa plan nzuri na affordable possibility ya kufanya naye hiyo kazi ni kubwa.karibuni
 
Mkuu ushauri wangu ni huu...
Kwa kuwa umeita "backup" natumaini kuwa unao umeme wa TANESCO na unategemea solar yako ikusaidie wakati umemem umekatika.
Mie sio supplier lakini napendekeza kuwa fridge uitoe kwenye hayo mahesabu kwa sababu itakusababishia kuhitaji mtambo mkubwa sana ambao ukitajiwa bei yake utaruka mita kadhaa.
Pia kwa upande wa TV, chukua LED/LCD na sio zile za kitumbo na mgongo maana hiyo dizainin ya zamani zinakula sana umeme.
 
Mkuu ushauri wangu ni huu...
Kwa kuwa umeita "backup" natumaini kuwa unao umeme wa TANESCO na unategemea solar yako ikusaidie wakati umemem umekatika.
Mie sio supplier lakini napendekeza kuwa fridge uitoe kwenye hayo mahesabu kwa sababu itakusababishia kuhitaji mtambo mkubwa sana ambao ukitajiwa bei yake utaruka mita kadhaa.
Pia kwa upande wa TV, chukua LED/LCD na sio zile za kitumbo na mgongo maana hiyo dizainin ya zamani zinakula sana umeme.

Asante mkuu...
 
Back
Top Bottom