tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,139
Yaani unaomba msaada, mtu anataka kukusaidia unahisi harufu ya utapeli? Aya buana. Kwa ufupi ID yangu ni ya kawaida inanifafanua, mimi ni mlinda amani mvuruga amani, hili nalitekeleza sana pale zitokeapo vurugu alafu nikaamuliwa kwenda kutuliza, mara nyingi nimekuwa nikiongeza idadi ya majeruhi badala ya kuwapunguza. Fujo itokeapo mjini huwa sichezi mbali na maduka ya simu ili wenye maduka wakichanganywa na ule moshi niutumiao kutawanya waleta fujo nijipatie walau simu mbili tatu au siyo mkuu. ME ndo Mshikawezi Mwezi kijana kuwa makini.
Kazi ya mshaara wa 2.5m haitangazwi hivyo..usidanganye watu hapa!!