Caine Chuhira
Member
- Sep 17, 2016
- 27
- 38
Habari za muda huu Wapendwa wanaJF , samahanini Sana, Naomba mnisaidie kwa yeyote Anayeijua Shule ya Sekondari binafsi ambayo Ada yake iko kuanzia Milioni moja kushuka chini, Anijuze mana nina mdogo wangu nataka nimpeleke akasome.
ikiwa Dar au Morogoro Itapendeza zaidi..!!! Ahsanteni..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
ikiwa Dar au Morogoro Itapendeza zaidi..!!! Ahsanteni..!!
Sent using Jamii Forums mobile app