Marryrose Daniel
Member
- Feb 24, 2021
- 14
- 22
Habari zenu jamani, hakika Dunia tambalabovu niukweli kwamba maisha yamenipiga nimepigika nipo chapachapa. Hivyo ninaomba kwaanaeweza kunisaidia Nipate shule yoyote ya kujitolea sitaki kulipwa hata sent chamsingi nipate chakula cha mchana tu jioni nitapiga pasi ndefu.
Mimi nimuhitimu wa chuo cha kati chuo cha ualimu tabora nimesomea ngazi ya stashahada masomo ya physics na mathematics.
Kwa yeyote mwenye mchongo anisaidie imefika wakati natembea njiani huku naongea pekee angu kwa msongo wa mawazo, na njaa inavyonitandika. Asante
Mimi nimuhitimu wa chuo cha kati chuo cha ualimu tabora nimesomea ngazi ya stashahada masomo ya physics na mathematics.
Kwa yeyote mwenye mchongo anisaidie imefika wakati natembea njiani huku naongea pekee angu kwa msongo wa mawazo, na njaa inavyonitandika. Asante