Apparent
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 220
- 110
Habari ndugu zangu.
Naomba anaefahamu wapi kuna shule ya serikali(Kidato cha kwanza hadi cha sita) ambayo ipo karibu kabisa na maeneo yafuatayo(karibu na barabara ya lami yenye daladala za moja kwa moja hadi Ubungo).
1.Ubungo hadi Mbezi mwisho
2.Ubungo hadi Tabata Segerea
3.Ubungo hadi Tegeta Nyuki
4.Ubungo hadi Makumbusho na Morocco
5.Ubungo hadi Kariakoo
Mimi naishi Chuo kikuu cha Dar es Salaam(UDSM) hivyo natafuta sehemu ambayo nitaweza kufika kwa urahisi.
Msaada wenu ni mhimu sana kwangu.
Mimi ni Mwalimu wa Form 1-6
Ordinary level and Advanced level.
Naomba anaefahamu wapi kuna shule ya serikali(Kidato cha kwanza hadi cha sita) ambayo ipo karibu kabisa na maeneo yafuatayo(karibu na barabara ya lami yenye daladala za moja kwa moja hadi Ubungo).
1.Ubungo hadi Mbezi mwisho
2.Ubungo hadi Tabata Segerea
3.Ubungo hadi Tegeta Nyuki
4.Ubungo hadi Makumbusho na Morocco
5.Ubungo hadi Kariakoo
Mimi naishi Chuo kikuu cha Dar es Salaam(UDSM) hivyo natafuta sehemu ambayo nitaweza kufika kwa urahisi.
Msaada wenu ni mhimu sana kwangu.
Mimi ni Mwalimu wa Form 1-6
Ordinary level and Advanced level.