Natafuta shule nzuri ya private O-level Arusha au Moshi

Natafuta shule nzuri ya private O-level Arusha au Moshi

Rosmin ya Tanga au Livingstone seminary ya Muheza. ila hujachelewa kweli muda huu?
 
wakuu heshima kwenu
Msaada wa shule nzuri ya private kwa kijana wa kiume atakayejiunga form one...naomben mapendekezo yenuu...
Nishachukua form ya Tengeru boys so nataka na mawazo ya nyingine pia.Thanks
 
Umechukua lini fom mkuu
Fom bei gani

Shule inamchepuo wa sayans na biashara?

Je ada shngap?

Nijulishe

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Umechukua lini fom mkuu
Fom bei gani

Shule inamchepuo wa sayans na biashara?

Je ada shngap?

Nijulishe

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
form mwisho ilikuwa mwisho wa mwezi uliopita mkuu...20000/=tsh yap inamchepuo wa sayansi na biashara.
Fees-2.8 hivii kwa mwaka..though form one itazidii hapo kwa ajili ya manunuziii....!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaribu na maua seminary ipo moshi ni nzuri kuliko tengeru boys
 
The best school Za Arusha Na moshi
1. Maua seminary
2.uru seminary
3.st james seminary
4.tengeru boys
5.majengo sec
 
Ila jitahid kuchukua fomu kwenye shule zaid ya tatu maan kupat chance kwenye hizo shule Ni mziki mnene e.g 2014 nilimpelek mdogo Wangu tengeru boys kwenye interview mm ilikuw noma wanafunzi interview walikuw zaid ya 1500 maan mitihan ilifanyik Arusha dar Na mwanza so Na hapo walihitaj the best 100 tu
 
SAINT CONSTANTINE SCHOOL

Ipo Burka

Mkuu hio shule inabidi ufunge mkanda

Nilimaliza la saba mwaka 1990...miaka hio school fees ilikua milion 7 bado mahitaji ya mwanafunzi (go&return Air ticket)

Pocket Money

Money Trips

Na vinginevyo

Kwa sasa wameiboresha hio shule na ipo SECONDRY SCHOOL

Tetesi nilizonazo kwa form1 ada yao kwa mwaka ni milion32

Kama utaona hapafai sogea Moshi Pale kuna ISM,,INTERNATIONA SCHOOL MOSHI
kule sio ghali saaana ni milion 27tu kwa mwaka ada yao hio ni form one
Ada inapanda kila mwanafunzi atakapo panda darasa
 
Back
Top Bottom